Swali la Chama lajibiwa na Barbara na Mwana FA

CEO wa Simba Barbara Gonzalez, Clatous Chama na Mwana FA

Kiungo wa klabu ya soka ya Simba Clatous Chama, leo Novemba 15, 2020, amezua mjadala mwingine kwenye mitandao ya kijamii, baada ya kupandisha picha kwenye ukurasa wake wa Instagram kisha kuambatainisha na swali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS