Nandy ni noma, awamaliza Alikiba na Harmonize
Kwa haraka haraka unaweza kusema kwa mwaka huu 2020, Nandy 'The African Princess' ndiyo msanii wa kike aliyefanya vizuri zaidi kuliko wengine kwa sababu ya nyimbo zake kufanya ku-trend kwenye 'industry', chart za BongoFleva, mitandaoni na madili ambayo ameyapata.