Aliyekuwa ananunua mahindi kwa bei juu akamatwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, ACP Simon Marwa Maigwa.

Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, linamshikilia Christopher Njako (20), maarufu kama Bilionea wa Mkako kwa kosa la kutakatisha fedha baada ya kufanya biashara ya mahindi, akinunua mahindi hayo kwa zaidi ya Tsh. 70,000 kwa kila gunia na kisha kuuza kwa Tsh. 42,000 kwa kila gunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS