RC Kunenge atoa tamko kwa mama wa Tandale

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakar Kunenge

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakar Kunenge amesema atalifanyia kazi tukio la mama mmoja ambaye alisimulia kupotea kwa mtoto wake wa kiume kisha kumkuta kwenye choo akiwa amefariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS