RC Kunenge atoa tamko kwa mama wa Tandale Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakar Kunenge Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Abubakar Kunenge amesema atalifanyia kazi tukio la mama mmoja ambaye alisimulia kupotea kwa mtoto wake wa kiume kisha kumkuta kwenye choo akiwa amefariki. Read more about RC Kunenge atoa tamko kwa mama wa Tandale