Magori aitahadharisha Simba
Mkurugenzi mtendaji wa zamani wa klabu ya Simba na mshauri wa masuala ya soka wa mwekezaji mkuu wa Simba, Mohamed Dewji Mo, ndugu Crescentius Magori amesema Simba inapaswa kujiandaa kwa mazingira yoyote yale ya changamoto na kuwa tayari kukabiliana nayo kama wana nia ya dhati ya kutaka kuw