NCCR Mageuzi yataka Muafaka wa Kitaifa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia Chama cha NCCR Mageuzi, kupitia kwa Mwenyekiti wake James Mbatia, kimewataka wananchi kuunga mkono juhudi zao za kutafuta muafaka wa kitaifa ili kulinda maadili na misingi ya taifa. Read more about NCCR Mageuzi yataka Muafaka wa Kitaifa