NECTA yatoa ratiba ya mitihani ya Kitaifa, 2020

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde.

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza ratiba ya mitihani ya kidato cha pili ambayo itaanza kesho Novemba 9 hadi Novemba 20, 2020 katika shule za sekondari 4948 Tanzania Bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS