Mtoto wa miaka mitatu anusurika kufa

Nyumba iliyoteketea kwa moto, mkoani Kagera.

Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu, Okechi Onesphalis, mkazi wa eneo la Bunena, mkoani Kagera, amenusurika kifo baada ya nyumba aliyokuwa amelala kuteketea kwa moto jana jioni Novemba 8, 2020, akiwa ndani peke yake, wakati mama yake mzazi akiwa nje akiendelea na shughuli za utafutaji mali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS