"Hata wewe Kabudi hauwezi ukawa Rais"- Magufuli

Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, na kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli, amesema kuwa mbunge wa jimbo la Isimani, William Lukuvi, pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje, Profesa Palamagamba Kabudi, hawawezi kuwa marais kwa sababu umri wao ni mkubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS