"Hata wewe Kabudi hauwezi ukawa Rais"- Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli, amesema kuwa mbunge wa jimbo la Isimani, William Lukuvi, pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje, Profesa Palamagamba Kabudi, hawawezi kuwa marais kwa sababu umri wao ni mkubwa.