Kisa Uchebe Zee Cuty amuomba msamaha Shilole

Msanii Zee Cuty upande wa kushoto, kulia ni Uchebe na Shilole

Msanii Zee Cuty amemuomba msamaha Shilole kufuatia picha na video zinazo-trend mitandaoni zikimuonyesha akikumbatiana na aliyekuwa mume wake Uchebe kwa kusema jambo hilo hakufanya kwa kiki wala kusudio lake sio kumuumiza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS