Pambano la magwiji lawadia, Juventus kumvaa Barca
Msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Ulaya ulianza wiki iliyopita, ambapo michezo ya mzunguko wa kwanza hatua ya makundi ilichezwa. Mchezo wa magwiji uliokuwa ukisubiriwa umewadia, safari hii ni Juventus dhidi ya Barcelona.