Tume yashauri haya kuelekea siku ya uchaguzi
Ikiwa yamesalia masaa machache ya kufikia siku ya kupiga kura kwa ajili ya kuchagua vongozi nchini Tume ya Taifa ya Uchaguzi, imesisitiza wananchi kuzingatia mambo muhimu yatakayomuwezesha kupiga kura ikiwemo kuwa na kadi ya mpiga kura.