Kenny afunguka kuhusu Alikiba na Harmonize
Muongozaji wa video hapa nchini Director Kenny amesema hana noma na msanii Alikiba na Harmonize kwenye suala zima la kutaka kufanya nao kazi japo stori zinadai sehemu anayofanyia kazi 'production' inambana asifanye kazi na wasanii hao.