RC DSM atoa onyo kwa watakaotaka kuvuruga amani

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge, ametoa onyo kwa watu au vikundi vya watu vilivyopanga kufanya vurugu na kusema kuwa yeyote atakayejaribu kuvuruga amani kwenye mkoa huo atawajibishwa kwa mujibu wa Sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS