Solskjaer amehoji maamuzi ya vilabu vya EPL

Mchezo dhidi ya Arsenal siku ya Jumapili utakuwa wa 100 kwa kocha Ole Gunnar Solskjaer akiisimamia Man United kama kocha mkuu

Kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amehoji ni kwanini vilabu vya Ligi Kuu England vilipiga kura ya kupinga kufanya mabadiliko ya wachezaji wa 5 kwenye michezo ya EPL msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS