Wananchi wa Temeke wapima macho bure

Pichani ni zoezi la upimaji macho

Manispaa ya Temeke imeandaa zoezi la upimaji macho bure na wale watakaobainika kuwa na matatizo watapatiwa ushauri na madaktari na wengine ambao wanaweza kupatiwa matibabu watatibiwa papo kwa hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS