Msikie Tupac wa Iringa anavyojitutumua kuhusu Jux kushoto ni msanii Jux, kulia ni Ice Boy Msanii Ice Boy amesema hamuigi, haigizi wala hajifananishi na marehemu Tupac Shakur ambaye alikuwa ni msanii wa HipHop nchini Marekani na alifahamika duniani kwa ujumla kutokana na nyimbo zake. Read more about Msikie Tupac wa Iringa anavyojitutumua kuhusu Jux