JPM ampa ahadi nono Nassari, naye aomba msamaha
Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Magufuli, amemuahidi aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia, CHADEMA, Joshua Nassari, ambaye kwa sasa yupo CCM kuwa atampa kazi kwa sababu ni kijana anayejitambua.