Simba yatoa ufafanuzi huu hapa kuhusu Mkude

Mratibu wa klabu ya Simba, Abbas Ally(Kulia) akimkabidhi jezi Abbas Tarimba(kushoto) ambaye ni mkurugenzi wa utawala wa Sportpesa ambao ni wadhamini wa mabingwa hao wa VPL.

Uongozi wa klabu ya Simba, umesisitiza kwamba John Bocco na Mohamed Hussein Tshabalala ndio manahodha wa mabingwa hao wa nchi licha ya kutovaa kitambaa katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Ruvu Shooting siku ya jumatatu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS