Nawajibika kwa 100% suala la Ozil asema Arteta
Kocha mkuu wa timu ya Arsenal Mikel Arteta, amekiri kuhusika moja kwa moja na kumuondoa Mesut Ozil katika orodha ya wachezaji watakao cheza ligi kuu ya England na mashindano ya Ulaya kwa msimu wa 2020/2021