Maagizo ya NEC kwa vyama vya siasa kuhusu mawakala

Mwenyekiti wa Tume wa Taifa ya Uchaguzi, Jaji mstaafu Semistocles Kaijage

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu kuhakikisha leo Oktoba 21, 2020, vinakabidhi orodha ya mawakala wa vyama vyao kwa wasimamizi wa uchaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS