Kushoto ni mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, na kulia ni Marehemu Mzee Samuel Sitta wakati wa uhai wake.
Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kuwa marehemu Samuel Sitta ndiye aliyewahi kuwa Spika wa Bunge bora zaidi kwa kuwa aliruhusu wabunge kuongea.