Lissu awahimiza wananchi kupiga kura
Zikiwa bado zimesalia siku kumi kufikia siku ya uchaguzi mkuu mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu, amewashukuru na kuwakumbusha wananchi wa Babati kujitokeza kwa ajili ya kupiga kura.