Lissu awahimiza wananchi kupiga kura

Mgombea wa Urais  kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu

Zikiwa bado zimesalia siku kumi kufikia siku ya uchaguzi mkuu mgombea wa Urais  kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu, amewashukuru na kuwakumbusha wananchi wa Babati kujitokeza kwa ajili ya kupiga kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS