Mgombea Urais Zanzibar, kwa tiketi ya chama cha Act-Wazalendo Maalim Seif Hamad
Mgombea Urais Zanzibar, kwa tiketi ya chama cha Act-Wazalendo Maalim Seif Hamad,amesema kama wananchi watampa ridhaa ya kuiongoza Zanzibar atahakikisha wanapata haki ya kufanya maamuzi wao wenyewe.