Wasichana Sekondari Iringa waishukuru Namthamini

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Lukosi Wilayani Kilolo Iringa wakipokea msaada wa pedi.

Kampeni ya NAMTHAMINI inayoendeshwa na East Africa Television na East Africa Radio kwa mwaka wa nne mfululizo, imewafikia wanafunzi zaidi ya elfu moja mkoani Iringa na kuwapatia taulo za kike zitakazowasaidia kwa mwaka mzima kutokosa masomo kwa changamoto ya ukosefu wa pedi wakati wa hedhi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS