Wasichana Sekondari Iringa waishukuru Namthamini
Kampeni ya NAMTHAMINI inayoendeshwa na East Africa Television na East Africa Radio kwa mwaka wa nne mfululizo, imewafikia wanafunzi zaidi ya elfu moja mkoani Iringa na kuwapatia taulo za kike zitakazowasaidia kwa mwaka mzima kutokosa masomo kwa changamoto ya ukosefu wa pedi wakati wa hedhi