Ndugai akwazwa na Zitto Kabwe, ahoji alichonufaika

Spika wa Bunge, Job Ndugai na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amehoji mwenendo na sababu ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe,kuandika barua Benki ya Dunia ili Tanzania ikose fursa ya kupewa mkopo wa elimu kwa sababu ya tofauti za sera

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS