Waziri ataja maeneo hatarishi kukumbwa na Corona

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema kuwa Serikali imebainisha maeneo hatarishi zaidi kukumbwa na maambukizi ya ugonjwa wa homa kali ya mafua ya virusi vya Corona kuwa ni viwanja vya ndege vya Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), Kilimanjaro, Mwanza na Bandari ya Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS