Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kumshusha cheo kimoja Kamanda wa Polisi wa Kusini Pemba, Hassan Nassir Ali.