Waziri Masauni aagiza RPC kushushwa cheo kimoja

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kumshusha cheo kimoja Kamanda wa Polisi wa Kusini Pemba, Hassan Nassir Ali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS