Tigana Lukinja aelekea Ghana kusaka vipaji

Mchambuzi wa michezo Tigana Lukinja.

Mchambuzi wa michezo kutoka East Africa Television na East Africa Radio Tigana Lukinja ambaye ni kocha wa soka, ameondoka nchini leo Desemba 11, 2019 kwenda nchini Ghana kwaajili ya mradi maalum wa kusaka vipaji vya soka, unaoratibiwa na Bundesliga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS