Dereva bajaji atoa ushahidi kesi ya Lissu
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, imeendelea leo katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, huku Shahidi wa siri wa 11 akitoa ushahidi unaohusu madai ya mpango wa Tundu Lissu wa kutaka kuzuia uchaguzi mkuu wa mwaka 202

