Kangi awaweka tayari polisi
Waziri wa wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, ametembelea Uwanja Mpya wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA-TERMINAL III) kuvikagua vyombo vyake vilivyojipanga kufanya kazi katika uwanja huo unaotarajiwa kufunguliwa hivi karibuni.