Kangi awaweka tayari polisi

Waziri wa wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola

Waziri wa wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, ametembelea Uwanja Mpya wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA-TERMINAL III) kuvikagua vyombo vyake vilivyojipanga kufanya kazi katika uwanja huo unaotarajiwa kufunguliwa hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS