Bashe amchambua mteule wa JPM

Hussein Bashe (kulia) na Innocent Bashungwa (kushoto)

Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Mohamed Bashe, amemtakia heri waziri mpya wa Viwanda na Biashara Mh. Innocent Bashungwa, huku akibainisha kuwa utendaji kazi wake si wa mashaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS