Wanafunzi wafa maji wakijifunza mkoani Geita

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo

Wanafunzi watatu wamefariki dunia kwa ajali ya maji baada ya baada ya Mtumbwi uliokuwa umebeba wanafunzi watano wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Makurugusi, Wilayani Chato Mkoani Geita  kupinduka eneo la Kibumba Mwaro wa Matofari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS