Aliyejifungua mapacha wanne atinga Bungeni

Radhia akiwa na watoto wake pamoja na baadhi ya wabunge.

Mama aliyejifungua watoto mapacha wanne, Radhia Solomon (24) mkazi wa Chemchemi  Magomeni  jijini Dar es salaam na kutelekezwa na mmewe kwa madai ya kukwepa majukumu amewasili bungeni na kuahidiwa kupatiwa msaada.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS