Playoff kupanda ligi kuu, mechi zaahirishwa Pamba FC na Kagera Sugar Mechi mbili za mtoano 'Plyaoff' zilizokuwa zichezwe leo hii kati ya Pamba FC dhidi ya Kagera Sugar na Geita Gold dhidi ya Mwadui zimeahirishwa na badala yake zitachezwa kesho majira ya saa kumi jioni. Read more about Playoff kupanda ligi kuu, mechi zaahirishwa