Azam FC yaungana na Simba baada ya kutwaa ubingwa Wachezaji wa Azam FC wakishangilia goli Klabu ya soka ya Azam FC imetwaa kombe la shirikisho nchini (ASFC), kwa kuifunga Lipuli FC goli 1-0 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa leo kwenye uwanja wa Ilulu mkoani. Read more about Azam FC yaungana na Simba baada ya kutwaa ubingwa