Bei ya mifuko mbadala yazidi kupaa sokoni

Mifuko mbadala

Wafanyabiashara  wa soko la Manzese lililopo Manispaa ya Morogoro  wameiomba serikali  kuzalisha kwa wingi mifuko mbadala  kwani upatikanaji wake kwa sasa  ni mdogo huku bei ikizidi kupaa, hali inayopelekea wateja kushindwa kumudu  kuinunua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS