Waziri atii agizo la Rais Magufuli

Waziri wa Kilimo Mh Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati wa kikao cha dharura na Wakurugenzi wa Taasisi na Idara mbalimbali za Wizara ya Kilimo.

Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga (Mb) leo tarehe 31 Mei 2019, ameitisha kikao cha dharura na Wakurugenzi wa Taasisi na Idara mbalimbali za Wizara ya Kilimo lengo ni kuanza kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kuiuzia mahindi Zimbabwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS