Rais wa CAF aitisha kikao cha dharura

ES Tunis wakishangilia ubingwa

Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika CAF, Ahmad Ahmad ameitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Utendaji ya shirikisho hilo kufuatia sintofahamu katika mchezo wa pili wa fainali ya Klabu Bingwa Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS