15 washikiliwa kwa kula pesa za vitambulisho

Rais Magufuli wakati wa uzinduzi wa vitambulisho vya wajasiriamali

Katibu Tawala Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Tusubilege Benjamin ameagiza jeshi la polisi kuwashikilia watendaji 15 wa vijiji na kata kwa tuhuma za kutafuna fedha zaidi ya milioni 15 za vitambulisho vya wajasiriamali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS