Sherehe yafanyika ukusanyaji mifuko ya plastiki

hafla ya kukabidhi mifuko ya plastiki

Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe  imeendelea kutekeleza  kwa vitendo agizo la serikali la kusimamia zoezi la ukusanyaji wa mifuko ya plastiki  katika kata zake zote ikiwa ni kuunga mkono katazo la matumizi ya mifuko hiyo ili kuhifadhi mazingira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS