Uwoya kufunga ndoa kwa mara ya tatu

Uwoya akiwa na Dogo Janja (kushoto) pamoja na marehemu Ndikumana kulia.

Mlimbwende kutoka kiwanda cha 'Bongo Movie' Irene Uwoya anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida amesema hatohitaji mchango wowote kutoka kwa mtu yeyote zaidi ya ushirikiano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS