Mifuko mbadala yaanza kusambaa kwa wingi mitaani

Wakazi wa Dar es salaam wakiwa na mifuko mbadala

Ikiwa ni siku tatu zimebaki kabla ya sheria mahsusi ya kuzuia matumizi ya mifuko ya plastiki, tayari mifuko mbadala imeanza kusambaa katika mitaa mbalimbali jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS