Timu ya soka ya Bunge kwenda AFCON Misri Job Ndugai. Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema yeye na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wataongoza timu ya soka ya Bunge, kwenda Misri kwenye AFCON kuipa nguvu timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars. Read more about Timu ya soka ya Bunge kwenda AFCON Misri