Mwezi mmoja mauzo ya dhahabu, mabilioni yatangazwa
Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko amesema kuwa katika kipindi cha mwezi mmoja, serikali imeuza madini ya dhahabu yenye thamani ya Bilioni 34.3 katika masoko 21 yaliyoanzishwa kwa ajili ya kuuza madini katika mikoa mbalimbali hapa nchini.