Amwagiwa maji ya moto kisa Fistula

Picha wa wakina mama wanaotibiwa Fistula katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es salaam.

Tafiti zinaonesha zaidi ya wanawake 800 Duniani hupoteza maisha kila siku kutokana na matatizo yatokanayo na ujauzito ambapo 20 kati yao wananapata majeraha au ulemavu na moja ya majeraha makubwa wakati wa kujifungua ni tatizo la fistula ya uzazi. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS