Mama amchoma bintiye wa darasa la 7, Bukoba

Mwanafunzi aliyeunguzwa maji ya moto

Binti wa darasa la saba, shule ya msingi Kashenge katika Manispaa ya Bukoba, amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera akiuguza majeraha anayodai kuyapata baada ya kuunguzwa kwa maji ya moto na mama yake wa kambo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS