Sherehe za Simba Dar es salaam zaahirishwa 

Mechi ya Simba na Biashara ikiendelea uwanja wa taifa.

Sherehe za kukabidhiwa kombe kwa klabu ya Simba zimeahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha leo jijini Dar es salaam hivyo kuharibu utaratibu wa namna ya kutembeza kombe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS