Spika Ndugai apokea hukumu ya Mbunge Masele
Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai amepokea taarifa ya Kamati ya Maadili ya Bunge ambayo iliketi kwa ajili ya kumhoji Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika PAP.