Waziri Mkuu Majaliwa atangaza kodi zitakazofutwa

Waziri Majaliwa.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali imeanza jitihada za kufuta tozo zote ambazo zinakwamisha mazingira ya ufanyaji wa biashara nchini zikiwemo za pembejeo ili kuwawezesha wafanyabiashara kuzifikisha hadi ngazi ya kijiji kwa wakulima. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS