Mo Dewji agawa usafiri kwa wachezaji wote wa Simba

Mo Dewji na kikosi cha Simba

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji, ametoa usafiri kwa wachezaji wote wa Simba msimu huu ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kwao kutokana na mafanikio waliyopata msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS