Mshambuliaji wa Tanzania asajiliwa England Adi Yussuf (katikati) akiwa na mabosi wa Blackpool Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Adi Yussuf amesajiliwa na klabu ya Blackpool ya nchini humo kwa mkataba wa miaka miwili pamoja na kipengele cha kuongeza mkataba wa mwaka mmoja. Read more about Mshambuliaji wa Tanzania asajiliwa England