Zahera aponda ubingwa wa Simba

Wachezaji na benchi la ufundi la Simba wakishangilia, kulia ni Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera.

Kocha wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amezungumzia namna anavyouchukulia ubingwa wa wapinzani wake Simba ambao wameutangaza jana kwenye mchezo dhidi ya Singida United katika uwanja wa Namfua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS